Surah Hud aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 21 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 21 from Surah Hud

﴿أُولَٰئِكَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَضَلَّ عَنْهُم مَّا كَانُوا يَفْتَرُونَ﴾
[ هود: 21]

Hao ndio walio zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo kuwa wakiyazua.

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Those are the ones who will have lost themselves, and lost from them is what they used to invent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ndio walio zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo kuwa wakiyazua.


Hao makafiri hawapati faida yoyote katika kumuabudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu! Bali wamejikhasiri nafsi zao, na huko Akhera huo uwongo walio kuwa wakiuzua, na madai ya upotovu, na miungu ya uwongo waliyo kuwa wakiiunda, na wakadai kuwa hiyo ati ikiwafaa au itawaombea - yote hayo yatawapotea. Kwa sababu hakika Siku ya Kiyama ndiyo Siku ya hakika, ambayo haina udanganyifu wala uzushi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Hud


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hawawi sawa watu wa Motoni na watu wa Peponi. Watu wa Peponi ndio wenye kufuzu.
  2. Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.
  3. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata
  4. Enyi mlio amini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa kweli mnamuabudu Yeye
  5. Hakika wanaafiki watakuwa katika t'abaka ya chini kabisa Motoni, wala hutompata yeyote wa kuwanusuru.
  6. Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza
  7. Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
  8. Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari,
  9. Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari.
  10. Na hakika tuliwatia adhabu kali; lakini hawakuelekea kwa Mola wao Mlezi wala hawakunyenyekea.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Surah Hud Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hud Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hud Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hud Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hud Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hud Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hud Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hud Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hud Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hud Al Hosary
Al Hosary
Surah Hud Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hud Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, June 23, 2025

Please remember us in your sincere prayers