Surah Hijr aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hijr aya 36 in arabic text(Al-Hijr City).
  
   

﴿قَالَ رَبِّ فَأَنظِرْنِي إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ﴾
[ الحجر: 36]

Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapo fufuliwa.

Surah Al-Hijr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He said, "My Lord, then reprieve me until the Day they are resurrected."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema (Iblisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watapofufuliwa.


Iblisi akasema, hali naye kesha kuwa ni mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu: Ewe Muumba wangu! Nipe muhula, nibakishe usinitwae mpaka Siku ya Kiyama, Siku watapo fufuliwa watu wakawa hai baada ya kufa kwao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 36 from Hijr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika Qaruni alikuwa katika watu wa Musa, lakini aliwafanyia dhulma. Na tulimpa khazina ambazo funguo
  2. Wakaingia gerezani pamoja naye vijana wawili. Mmoja wao akasema: Hakika mimi nimeota nakamua mvinyo. Na
  3. Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi
  4. Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano, wa sita
  5. Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini.
  6. Mkimkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mzuri, atakuzidishieni mardufu, na atakusameheni. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa
  7. Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
  8. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
  9. Na Mola wake Mlezi alipo mjaribu Ibrahim kwa kumpa amri fulani, naye akazitimiza, akamwambia: Hakika
  10. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Surah Hijr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hijr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hijr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hijr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hijr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hijr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hijr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hijr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hijr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hijr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hijr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hijr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hijr Al Hosary
Al Hosary
Surah Hijr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hijr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers