Surah Sad aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَسَخَّرْنَا لَهُ الرِّيحَ تَجْرِي بِأَمْرِهِ رُخَاءً حَيْثُ أَصَابَ﴾
[ ص: 36]
Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So We subjected to him the wind blowing by his command, gently, wherever he directed,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.
Tukamdhalilishia upepo, ukenda kama anavyo taka maridhawa, kokote aliko kusudia na kutaka.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha tukakufunulia ya kwamba ufuate mila ya Ibrahim, mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
- Basi usiwe na shaka juu ya wanayo yaabudu hao. Hawaabudu ila kama walivyo abudu baba
- Fungu kubwa katika wa mwanzo,
- Walipo kujieni kutoka juu yenu, na kutoka chini yenu; na macho yalipo kodoka, na nyoyo
- Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya dunia na katika Akhera, na humo mtapata kinacho
- Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
- Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi
- Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
- Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.
- Simama uonye!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers