Surah Shuara aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ﴾
[ الشعراء: 37]
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who will bring you every learned, skilled magician."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Watakuletea wengi, na wote wamebobea kwa uchawi, na wamemshinda Musa kwa ufundi na ustadi. Wamekusudia kwa haya kumpunguzia dukuduku lake Firauni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa usiku unapo lifunika!
- (Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
- Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
- Ni Nyota yenye mwanga mkali.
- Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.
- Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
- Sisi tumewakhusisha wao kwa sifa ya ukumbusho wa Akhera.
- Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.
- Hakika wanao kula mali ya mayatima kwa dhulma, hapana shaka yoyote wanakula matumboni mwao moto,
- Hakika tumekufungulia Ushindi wa dhaahiri
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers