Surah Shuara aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ﴾
[ الشعراء: 37]
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who will bring you every learned, skilled magician."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Watakuletea wengi, na wote wamebobea kwa uchawi, na wamemshinda Musa kwa ufundi na ustadi. Wamekusudia kwa haya kumpunguzia dukuduku lake Firauni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Firauni) akasema: Basi Mola wenu Mlezi ni nani, ewe Musa?
- Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira
- Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana ndimi zenu na rangi
- Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
- Au mimi si bora kuliko huyu aliye mnyonge, wala hawezi kusema waziwazi?
- Na mkilipiza basi lipizeni sawa na vile mlivyo adhibiwa. Na ikiwa mtasubiri, basi hakika hivyo
- Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa madhaalimu.
- Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
- Na Mola wake Mlezi alipo mjaribu Ibrahim kwa kumpa amri fulani, naye akazitimiza, akamwambia: Hakika
- Na ni wa Mwenyezi Mungu ufalme wa mbingu na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndio
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers