Surah Shuara aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ﴾
[ الشعراء: 37]
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who will bring you every learned, skilled magician."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
Watakuletea wengi, na wote wamebobea kwa uchawi, na wamemshinda Musa kwa ufundi na ustadi. Wamekusudia kwa haya kumpunguzia dukuduku lake Firauni.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukia kwangu kulikuwaje?
- Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
- Na wale wanao jiepusha na ibada potovu, na wakarejea kwa Mwenyezi Mungu, watapata bishara njema.
- Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
- Na hakika wewe una tabia tukufu.
- Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
- Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
- Lakini mkigeuka, basi mimi sikukuombeni ujira. Ujira wangu hauko ila kwa Mwenyezi Mungu. Na nimeamrishwa
- Amekupigieni mfano kutokana na nafsi zenu. Je! Katika hao iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia
- Na waambie kwamba maji yatagawanywa baina yao; kila sehemu ya maji itahudhuriwa na aliye khusika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



