Surah Muminun aya 97 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقُل رَّبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ﴾
[ المؤمنون: 97]
Na sema: Mola wangu Mlezi! Najikinga kwako na wasiwasi wa mashet'ani.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And say, "My Lord, I seek refuge in You from the incitements of the devils,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na sema: Mola wangu Mlezi! Najikinga kwako na wasiwasi wa mashetani.
Nawe sema: Ewe Mola Mlezi! Najilinda kwako na wasiwasi wa mashetani wasiniingilie katika nafsi yangu kwa vitendo visio kupendeza.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alipo sikia yule bibi masengenyo yao aliwaita, na akawawekea matakia ya kuegemea, na akampa kila
- Basi alipo waletea Haki inayo toka kwetu, walisema: Waueni watoto wanaume wa wale walio muamini
- Enyi mlio amini! Wakikujilieni wanawake Waumini walio hama, basi wafanyieni mtihani - Mwenyezi Mungu ndiye
- Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
- Na utawaona Malaika wakizunguka pembeni mwa Kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu, wakimtakasa na kumsifu
- Amefundisha Qur'ani.
- Mwenyezi Mungu aliye ziinua mbingu bila ya nguzo mnazo ziona, ametawala kwenye Ufalme wake, na
- Yeye ndiye Muumba mbingu na ardhi, amekujaalieni mke na mume katika nafsi zenu, na katika
- Wakasema: Bali tumewakuta baba zetu wakifanya hivyo hivyo.
- Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers