Surah Mursalat aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mursalat aya 38 in arabic text(Those Sent Forth).
  
   

﴿هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ
[ المرسلات: 38]

Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.

Surah Al-Mursalat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


This is the Day of Judgement; We will have assembled you and the former peoples.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.


Hii ndiyo siku ya kufafanua baina ya mwenye ukweli, na mwenye uwongo, kwa kuwa kila mmoja atalipwa kwa mujibu wa anavyo stahiki. Enyi mnao mkadhibisha Muhammad! Tumekujaalieni nyinyi na walio kutangulieni walio kadhibisha mfano wenu,

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 38 from Mursalat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hawakufarikiana ila baada ya kuwajia ilimu kwa sababu ya husuda iliyo kuwa baina yao.
  2. Lakini aliye dhulumu, kisha akabadilisha wema baada ya ubaya, basi Mimi ni Mwenye kusamehe Mwenye
  3. Na Mwenyezi Mungu amekufanyieni vivuli katika vitu alivyo viumba, na amekufanyieni maskani milimani, na amekufanyieni
  4. Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
  5. Na alikufikieni Musa na hoja zilizo waziwazi, kisha mkamchukua ndama (kumuabudu) baada yake, na mkawa
  6. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?
  7. Sema: Mola wangu Mlezi! Hukumu kwa haki. Na Mola wetu Mlezi ni Mwingi wa Rehema,
  8. Na Nabii wao akawaambia: Alama ya ufalme wake ni kukuleteeni lile sanduku ambalo mna ndani
  9. Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
  10. Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Surah Mursalat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mursalat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mursalat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mursalat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mursalat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mursalat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mursalat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mursalat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mursalat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mursalat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mursalat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mursalat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mursalat Al Hosary
Al Hosary
Surah Mursalat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mursalat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers