Surah Mursalat aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ﴾
[ المرسلات: 38]
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
This is the Day of Judgement; We will have assembled you and the former peoples.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
Hii ndiyo siku ya kufafanua baina ya mwenye ukweli, na mwenye uwongo, kwa kuwa kila mmoja atalipwa kwa mujibu wa anavyo stahiki. Enyi mnao mkadhibisha Muhammad! Tumekujaalieni nyinyi na walio kutangulieni walio kadhibisha mfano wenu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ambacho ni Uwongofu na Ukumbusho kwa wenye akili.
- Hasha! Naapa kwa mwezi!
- Hao ndio walio waambia ndugu zao na wao wenyewe wakakaa kitako: Lau wengeli tut'ii wasingeli
- Na mkifa au mkiuliwa ni kwa Mwenyezi Mungu ndio mtakusanywa.
- Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
- Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na
- Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;
- Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa
- Na miongoni mwao wapo wanao kusengenya katika kugawa sadaka. Wanapo pewa wao huridhika. Na wakito
- Naapa kwa wanao komoa kwa nguvu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers