Surah Shuara aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shuara aya 4 in arabic text(The Poets).
  
   

﴿إِن نَّشَأْ نُنَزِّلْ عَلَيْهِم مِّنَ السَّمَاءِ آيَةً فَظَلَّتْ أَعْنَاقُهُمْ لَهَا خَاضِعِينَ﴾
[ الشعراء: 4]

Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao.

Surah Ash-Shuara in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


If We willed, We could send down to them from the sky a sign for which their necks would remain humbled.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao.


Sisi tunaweza kuwaletea muujiza wa kuwalazimisha Imani, watii kwa unyenyekevu amri yake, na yatimie unayo yatarajia. Lakini hatuwaletei, kwa sababu mwendo wetu ni kuwaongoza watu waamini bila ya kuwalazimisha, ili isikosekane hikima ya kujaribiwa kwa mitihani, na yanayo kuja baada yake ya thawabu na adhabu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Shuara


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kama yamekupateni majaraha, basi na hao watu wengine yamewapata majaraha mfano wa haya. Na siku
  2. Sema: Mkificha yaliyomo vifuani mwenu au mkiyafichua Mwenyezi Mungu anayajua; na anayajua yaliyomo mbinguni na
  3. Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga
  4. Sema: Nionyesheni mlio waunganisha naye kuwa washirika. Hasha! Bali Yeye ndiye Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu,
  5. Ni starehe ndogo, nao watapata adhabu chungu.
  6. Sema: Je nitafute Mola Mlezi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ndiye Mola Mlezi
  7. Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila kuwa mbali nayo.
  8. Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
  9. Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
  10. Waseme: Mola wetu Mlezi! Aliye tusabibisha haya mzidishie adhabu mara mbili Motoni.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Surah Shuara Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shuara Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shuara Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shuara Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shuara Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shuara Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shuara Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shuara Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shuara Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shuara Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shuara Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shuara Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shuara Al Hosary
Al Hosary
Surah Shuara Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shuara Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, November 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers