Surah Muzammil aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَوْ زِدْ عَلَيْهِ وَرَتِّلِ الْقُرْآنَ تَرْتِيلًا﴾
[ المزمل: 4]
Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.
Surah Al-Muzzammil in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or add to it, and recite the Qur'an with measured recitation.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au izidishe - na soma Qurani kwa utaratibu na utungo.
Au zidisha kwenye nusu mpaka ifikie thuluthi mbili. Na soma Qurani kwa pole pole ukibainisha harufi, na pa kusita usite, pasiwe na nuksani yoyote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye
- Na ambaye ndiye aliye umba katika kila kitu jike na dume, na akakufanyieni marikebu na
- Walio amini wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na walio kufuru wanapiana katika njia ya
- Mpaka muda maalumu?
- Na wa mwanzo wao watawaambia wa mwisho wao: Basi nyinyi pia hamkuwa na ubora kuliko
- Isipo kuwa wale walio kuwa wanyonge miongoni mwa wanaume na wanawake na watoto wasio na
- Walipo tukasirisha tuliwapatiliza tukawazamisha wote!
- Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.
- Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
- Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



