Surah Muzammil aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَوْ زِدْ عَلَيْهِ وَرَتِّلِ الْقُرْآنَ تَرْتِيلًا﴾
[ المزمل: 4]
Au izidishe - na soma Qur'ani kwa utaratibu na utungo.
Surah Al-Muzzammil in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Or add to it, and recite the Qur'an with measured recitation.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au izidishe - na soma Qurani kwa utaratibu na utungo.
Au zidisha kwenye nusu mpaka ifikie thuluthi mbili. Na soma Qurani kwa pole pole ukibainisha harufi, na pa kusita usite, pasiwe na nuksani yoyote.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.
- Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Na lau isinge kuwa watu watakuwa kundi moja tungeli wajaalia wanao mkufuru Rahmani wana nyumba
- Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
- Ndio namna hivi. Na anaye lipiza mfano wa alivyo adhibiwa, kisha akadhulumiwa, basi hapana shaka
- Na wale wanao kesha kwa ajili ya Mola wao Mlezi kwa kusujudu na kusimama.
- Na walio amini na dhuriya zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala
- Na wanapo ambiwa: Kateremsha nini Mola wenu Mlezi? Husema: Hadithi za kubuni za watu wa
- Sema: Wangeli kusanyika watu na majini ili walete mfano wa hii Qur'ani basi hawaleti mfano
- Hayawi! Hayawi hayo mnayo ahidiwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers