Surah Zukhruf aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَعَلَهَا كَلِمَةً بَاقِيَةً فِي عَقِبِهِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ﴾
[ الزخرف: 28]
Na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And he made it a word remaining among his descendants that they might return [to it].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee.
Kwa kuwatangazia hivyo, likawa hilo Neno la Tawhidi, ni neno lenye kubakia katika dhuriya zake, ili wapate kulirejelea, waliamini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ati mtu anakipata kila anacho kitamani?
- Hutaona humo mdidimio wala muinuko.
- Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,
- Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Mfano wa walio wafanya walinzi badala ya Mwenyezi Mungu, ni mfano wa buibui alivyo jitandia
- Hakika katika haya zipo Ishara. Lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
- Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
- Mwenyezi Mungu! Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Yeye ana majina mazuri kabisa.
- Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara. Kama
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



