Surah Al-Haqqah aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ﴾
[ الحاقة: 40]
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[That] indeed, the Qur'an is the word of a noble Messenger.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
Kwamba hakika Qurani bila ya shaka inatoka kwa Mwenyezi Mungu kwa ulimi wa Mjumbe mwenye cheo cha juu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema:
- Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
- Jueni kuwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu hawatakuwa na khofu wala hawatahuzunika.
- Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
- Ufalme wote siku hiyo utakuwa wa Mwenyezi Mungu. Atahukumu baina yao. Basi walio amini na
- Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!
- Siku wanaafiki wanaume na wanaafiki wanawake watapo waambia walio amini: Tungojeni ili tupate mwangaza katika
- Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
- Na haikuwa jawabu ya kaumu yake isipo kuwa kuambizana: Wafukuzeni katika mji wenu, maana hao
- Na wimbi linapo wafunika kama wingu, wao humwomba Mwenyezi Mungu kwa kumsafia dini. Lakini anapo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



