Surah Al-Haqqah aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تُؤْمِنُونَ﴾
[ الحاقة: 41]
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And it is not the word of a poet; little do you believe.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
Wala Qurani si maneno ya mtunga mashairi kama mnavyo dai. Ama nyinyi ni chache mno imani yenu ya kuwa Qurani inatoka kwa Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim
- Lao wao humo ni kupiga mayowe, na wala hawatasikia (jenginelo).
- Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
- Kwani hawatembei katika ardhi wakaona ulikuwaje mwisho wa walio kuwa kabla yao? Wao walikuwa wengi
- Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso
- Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.
- Wanao subiri, wanao sema kweli, na wat'iifu, na wanao toa sadaka, na wanao omba maghafira
- Na neema za Mola wako Mlezi zisimlie.
- Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
- Na Kitabu kilicho andikwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



