Surah Furqan aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Furqan aya 42 in arabic text(The Criterion).
  
   

﴿إِن كَادَ لَيُضِلُّنَا عَنْ آلِهَتِنَا لَوْلَا أَن صَبَرْنَا عَلَيْهَا ۚ وَسَوْفَ يَعْلَمُونَ حِينَ يَرَوْنَ الْعَذَابَ مَنْ أَضَلُّ سَبِيلًا
[ الفرقان: 42]

Kwa hakika alikuwa karibu kutupoteza tuiache miungu yetu, ingeli kuwa hatukushikamana nayo kwa kuvumilia. Bado watakuja jua, watakapo iona adhabu, ni nani aliye potea njia.

Surah Al-Furqan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He almost would have misled us from our gods had we not been steadfast in [worship of] them." But they are going to know, when they see the punishment, who is farthest astray in [his] way.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa hakika alikuwa karibu kutupoteza tuiache miungu yetu, ingeli kuwa hatukushikamana nayo kwa kuvumilia. Bado watakuja jua, watakapo iona adhabu, ni nani aliye potea njia.


Mtu huyu hakika kajaaliwa kuwa na ufasihi mzuri, na hoja za kuvutia kwa wanao msikia. Na hapana shaka ameweza kuchota katika imani zetu hata alikaribia kututoa kwa miungu yetu tumfuate mungu wake. Lakini sisi tumesimama imara juu miungu yetu na dini yetu. (Mwenyezi Mungu anasema:) Tutakuja wabainishia ukweli wa mambo watapo kuja iona adhabu Siku ya Kiyama, na watajua nani huyo aliye thibiti katika upotovu na makosa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 42 from Furqan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ewe Mtume! Fikisha uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi. Na ikiwa hukufanya hayo basi
  2. Kisha tunakivutia kwetu kidogo kidogo.
  3. Na Firauni alitangaza kwa watu wake, akisema: Enyi watu wangu! Kwani mimi sinao huu ufalme
  4. Basi itakuwaje Malaika watakapo wafisha wakawa wanawapiga nyuso zao na migongo yao!
  5. Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye
  6. Hakuna kheri katika mengi ya wanayo shauriana kwa siri, isipo kuwa kwa yule anaye amrisha
  7. Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea.
  8. Na wanapo somewa wanasema: Tunaiamini. Hakika hii ni Haki inayo toka kwa Mola wetu Mlezi.
  9. Mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. Kila wakirudishwa kwenye fitna
  10. Basi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Surah Furqan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Furqan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Furqan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Furqan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Furqan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Furqan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Furqan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Furqan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Furqan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Furqan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Furqan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Furqan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Furqan Al Hosary
Al Hosary
Surah Furqan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Furqan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, September 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers