Surah Furqan aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Furqan aya 43 in arabic text(The Criterion).
  
   

﴿أَرَأَيْتَ مَنِ اتَّخَذَ إِلَٰهَهُ هَوَاهُ أَفَأَنتَ تَكُونُ عَلَيْهِ وَكِيلًا﴾
[ الفرقان: 43]

Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni wakili wake?

Surah Al-Furqan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have you seen the one who takes as his god his own desire? Then would you be responsible for him?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni wakili wake?


Ewe Mtume! Umeona upotovu wa mwenye kufuata matamanio yake na pumbao lake hata akawa anaabudu mawe ambayo hayadhuru wala hayanafiishi? Na wewe umetumwa uwe mwonyaji na mbashiri, wala hukuwakilishwa kwa imani yao na uwongofu wao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 43 from Furqan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mwenyezi Mungu ameifanya Al Kaaba, hii Nyumba Tukufu, ni simamio la watu, na kadhaalika Miezi
  2. Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika
  3. Bustani za milele wataziingia; iwe inapita kati yake mito. Humo watapata watakacho. Hivi ndivyo Mwenyezi
  4. Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
  5. Na watu wa Motoni watawaita watu wa Peponi: Tumimieni maji, au chochote alicho kuruzukuni Mwenyezi
  6. Lakini akisha waokoa, mara wanafanya jeuri tena katika nchi bila ya haki. Enyi watu! Jeuri
  7. Badala ya Mwenyezi Mungu? Watasema: Wametupotea, bali tangu zamani hatukuwa tukiomba kitu! Hivyo ndivyo Mwenyezi
  8. Na wakasema: Msiwaache miungu yenu, wala msimwache Wadda wala Suwaa' wala Yaghutha, wala Yau'qa, wala
  9. Na ama wale walio amini na wakatenda mema basi Mwenyezi Mungu atawalipa ujira wao kaamili.
  10. Wanakuuliza hiyo Saa (ya mwisho) itakuwa lini? Sema: Kuijua kwake kuko kwa Mola Mlezi wangu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Surah Furqan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Furqan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Furqan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Furqan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Furqan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Furqan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Furqan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Furqan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Furqan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Furqan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Furqan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Furqan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Furqan Al Hosary
Al Hosary
Surah Furqan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Furqan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, October 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers