Surah Muhammad aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muhammad aya 31 in arabic text(Muhammad).
  
   

﴿وَلَنَبْلُوَنَّكُمْ حَتَّىٰ نَعْلَمَ الْمُجَاهِدِينَ مِنكُمْ وَالصَّابِرِينَ وَنَبْلُوَ أَخْبَارَكُمْ﴾
[ محمد: 31]

Na bila ya shaka tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao Jihadi katika nyinyi na wanao subiri. Nasi tutazifanyia mtihani khabari zenu.

Surah Muhammad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We will surely test you until We make evident those who strive among you [for the cause of Allah] and the patient, and We will test your affairs.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na bila ya shaka tutakujaribuni mpaka tuwadhihirishe wapignao Jihadi katika nyinyi na wanao subiri. Nasi tutazifanyia mtihani khabari zenu.


Na ninaapa: Bila ya shaka tutakujaribuni kama kukufanyieni mtihani, mpaka tuwajue Mujaahidina, wanao pigana kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, katika nyinyi, na wenye kuvumilia wakati wa shida na dhiki, na tuzijue khabari zenu za utiifu na maasi katika Jihadi na penginepo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 31 from Muhammad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hayo ndiyo makaazi ya Akhera, tumewafanyia wale wasio taka kujitukuza duniani wala ufisadi. Na mwisho
  2. Na ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi, tena tubuni kwake. Hakika Mola wangu Mlezi ni
  3. Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi nawazipande njia
  4. Na wataambiwa walio mcha Mungu: Mola wenu Mlezi kateremsha nini? Watasema: Kheri. Walio fanya wema
  5. Na tungeli taka tungeli peleka katika kila mji Mwonyaji.
  6. Ukiwaadhibu basi hao ni waja wako. Na ukiwasamehe basi Wewe ndiye Mwenye nguvu na Mwenye
  7. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba
  8. Basi tukawalipizia. Angalia ulikuwaje mwisho wa walio kadhibisha!
  9. Enyi watu wangu! Hakika haya maisha ya dunia ni starehe ipitayo tu, na hakika Akhera
  10. Mwenye kutenda mema basi ni kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kutenda uovu ni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Surah Muhammad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muhammad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muhammad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muhammad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muhammad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muhammad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muhammad Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Muhammad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muhammad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muhammad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muhammad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muhammad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muhammad Al Hosary
Al Hosary
Surah Muhammad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muhammad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب