Surah Al Qamar aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Qamar aya 44 in arabic text(The Moon).
  
   

﴿أَمْ يَقُولُونَ نَحْنُ جَمِيعٌ مُّنتَصِرٌ﴾
[ القمر: 44]

Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.

Surah Al-Qamar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Or do they say, "We are an assembly supporting [each other]"?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.


Bali ati wanasema hawa makafiri: Sisi ni kikundi kilicho ungana chenye nguvu juu ya maadui wake, hakishindwi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 44 from Al Qamar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ukiwat'ii wengi katika hawa waliomo duniani watakupoteza na Njia ya Mwenyezi Mungu. Hawa hawafuati
  2. Akasema Firauni: Mmemuamini kabla sijakupeni idhini? Hizi ni njama mlizo panga mjini mpate kuwatoa wenyewe.
  3. Hivyo anakuahidini ati ya kwamba mtakapo kufa na mkawa udongo na mifupa kuwa mtatolewa?
  4. Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
  5. Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walio shirikisha kabla yetu, na sisi ni dhuriya zao
  6. Hawataweza kuwasaidia. Bali hao ndio watakuwa askari wao watakao hudhurishwa.
  7. Hizi ni katika khabari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingine imefyekwa.
  8. Lakini anaye rudi nyuma na kukataa,
  9. Hakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu atakapo ona yaliyo tangulizwa na mikono
  10. Na walisema: Hakuna mengine ila maisha yetu haya ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Surah Al Qamar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Qamar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Qamar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Qamar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Qamar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Qamar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Qamar Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Qamar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Qamar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Qamar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Qamar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Qamar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Qamar Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Qamar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Qamar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers