Surah Saba aya 45 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saba aya 45 in arabic text(Sheba).
  
   
ayat 45 from Surah Saba

﴿وَكَذَّبَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَمَا بَلَغُوا مِعْشَارَ مَا آتَيْنَاهُمْ فَكَذَّبُوا رُسُلِي ۖ فَكَيْفَ كَانَ نَكِيرِ
[ سبأ: 45]

Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Na hawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyo wapa hao. Nao waliwakadhibisha Mitume wangu. Basi kuangamiza kwangu kulikuwa namna gani!

Surah Saba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those before them denied, and the people of Makkah have not attained a tenth of what We had given them. But the former peoples denied My messengers, so how [terrible] was My reproach.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Na hawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyo wapa hao. Nao waliwakadhibisha Mitume wangu. Basi kuangamiza kwangu kulikuwa namna gani!


Na kaumu zilizo tangulia ziliwakadhibisha Manabii wao. Na hawa washirikina wa kaumu yako hawajafikia hata sehemu moja katika kumi za nguvu na umadhubuti tulio wapa hao walio tangulia. Wakawakanusha Mitume wangu. Basi ilikuwaje ghadhabu yangu juu yao jinsi nilivyo wakasirikia!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 45 from Saba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
  2. Wala wamchao Mungu hawana jukumu lolote kwao, lakini ni kukumbusha, asaa wapate kujiepusha.
  3. Na wale katika nyinyi wenye fadhila na wasaa wasiape kutowapa jamaa zao na masikini na
  4. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi
  5. Wakasema: Ewe Mheshimiwa! Huyu anaye baba mzee sana. Kwa hivyo mchukue mmoja wetu badala yake.
  6. Wakasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Hakika Juju-wa-maajuju wanafanya uharibifu katika nchi. Basi je, tukulipe ujira ili utujengee
  7. Siku atakayo kukusanyeni kwa ajili ya Siku ya Mkusanyiko; hiyo ni siku ya kupunjana. Na
  8. Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli
  9. Je, aliye kuwa maiti kisha tukamhuisha, na tukamjaalia nuru inakwenda naye mbele za watu, mfano
  10. Lau wangeli toka nanyi wasingeli kuzidishieni ila mchafuko, na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Surah Saba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saba Al Hosary
Al Hosary
Surah Saba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, July 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers