Surah Al Qamar aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكَذَّبُوا وَاتَّبَعُوا أَهْوَاءَهُمْ ۚ وَكُلُّ أَمْرٍ مُّسْتَقِرٌّ﴾
[ القمر: 3]
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they denied and followed their inclinations. But for every matter is a [time of] settlement.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
Na wamewakanusha Mitume na wakafuata yaliyo zainishwa na matamanio yao. Na kila jambo huishia mwisho wake linapo tulia na kuthibiti.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ikigundulikana kuwa wawili hao wamestahiki dhambi, basi wawili wengineo kutokana na warithi wenye kudai haki
- Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
- Isije ikasema nafsi: Ee majuto yangu kwa yale niliyo poteza upande wa Mwenyezi Mungu, na
- Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu.
- Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na
- Qaaf. Naapa kwa Qur'ani tukufu!
- Wala sitaabudu mnacho abudu.
- Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers