Surah Al Qamar aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكَذَّبُوا وَاتَّبَعُوا أَهْوَاءَهُمْ ۚ وَكُلُّ أَمْرٍ مُّسْتَقِرٌّ﴾
[ القمر: 3]
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they denied and followed their inclinations. But for every matter is a [time of] settlement.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
Na wamewakanusha Mitume na wakafuata yaliyo zainishwa na matamanio yao. Na kila jambo huishia mwisho wake linapo tulia na kuthibiti.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nawe utawadhania wamacho, na hali wamelala. Nasi tunawageuza kulia na kushoto. Na mbwa wao amenyoosha
- Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
- Basi akasema: Navipenda vitu vizuri kwa kumkumbuka Mola wangu Mlezi. Kisha wakafichikana nyuma ya boma.
- Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.
- Harun, ndugu yangu.
- WAHESHIMIWA WALIO TAKABARI katika kaumu yake wakasema: Ewe Shua'ib! Tutakutoa wewe pamoja na wale walio
- Hasha! Naapa kwa mwezi!
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Hakika nyinyi ni kitisho zaidi katika vifua vyao kuliko Mwenyezi Mungu. Hayo ni kwa kuwa
- Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers