Surah Lail aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ عَلَيْنَا لَلْهُدَىٰ﴾
[ الليل: 12]
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, [incumbent] upon Us is guidance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
Hakika ni juu yetu, Sisi, kwa kufuatana na hikima yetu, ndio tuwabainishie viumbe njia ya uwongofu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wakisubiri Moto ndio maskani yao. Na wakiomba radhi hawakubaliwi.
- Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
- Basi Ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo Ufalme wa kila kitu; na kwake Yeye mtarejeshwa.
- Wakamkadhibisha. Basi kwa hakika watahudhurishwa;
- Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
- Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
- Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
- Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
- Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
- Na kadhaalika hao washirika wao wamewapambia wengi katika washirikina kuwauwa watoto wao ili kuwaangamiza na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



