Surah Al-Haqqah aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ﴾
[ الحاقة: 46]
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then We would have cut from him the aorta.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
Kisha bila ya shaka tungeli mkata mshipa wake wa moyo, afe saa ile ile. (Biblia inasema katika Kumbukumbu la Torati 18.20 -Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, au atakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.-)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi ikawadhihirikia baada ya kuona Ishara kuwa wamfunge kwa muda.
- Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
- Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na
- Ama wale walio kufuru, nitawaadhibu adhabu kali katika dunia na Akhera, wala hawatapata wa kuwanusuru.
- Mabustani ya milele watayaingia. Huko watavikwa vikuku vya dhahabu, na lulu, na nguo zao humo
- Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
- MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika
- Na tukamtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaakub. Kila mmoja wao tulimwongoa. Na Nuhu tulimwongoa kabla. Na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers