Surah Tawbah aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tawbah aya 49 in arabic text(The Repentance).
  
   

﴿وَمِنْهُم مَّن يَقُولُ ائْذَن لِّي وَلَا تَفْتِنِّي ۚ أَلَا فِي الْفِتْنَةِ سَقَطُوا ۗ وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمُحِيطَةٌ بِالْكَافِرِينَ
[ التوبة: 49]

Na miongoni mwao wapo wanao sema: Niruhusu wala usinitie katika fitina. Kwa yakini wao hivyo wamekwisha tumbukia katika fitina. Na hakika Jahannamu imewazunguka.

Surah At-Tawbah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And among them is he who says, "Permit me [to remain at home] and do not put me to trial." Unquestionably, into trial they have fallen. And indeed, Hell will encompass the disbelievers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na miongoni mwao wapo wanao sema: Niruhusu wala usinitie katika fitina. Kwa yakini wao hivyo wamekwisha tumbukia katika fitina. Na hakika Jahannamu imewazunguka.


Na baadhi ya wanaafiki walikuwa wakimwambia Mtume: Tupe ruhusa tukae tusende kwenye Jihadi, wala usitutie kwenye shida na dhiki. Na wao kwa hakika kwa msimamo huo wamekwisha jitia wenyewe katika maasia, kumuasi Mwenyezi Mungu. Na hakika Siku ya Akhera Moto wa Jahannamu utawazunguka.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 49 from Tawbah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
  2. Hakika wewe unamwonya mwenye kufuata ukumbusho, na akamcha Arrahman, Mwingi wa Rehema, kwa ghaibu. Basi
  3. Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa
  4. Na kama wakigeuka, basi sema: Nimekutangazieni sawa sawa, wala sijui yako karibu au mbali hayo
  5. Khabari za wakosefu:
  6. Na walio kufuru hawatoacha kuwa katika wasiwasi kwa hilo mpaka Saa iwafikie ghafla, au iwafikie
  7. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye.
  8. Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja,
  9. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala
  10. Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tawbah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tawbah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tawbah Complete with high quality
Surah Tawbah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tawbah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tawbah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tawbah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tawbah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tawbah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tawbah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tawbah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tawbah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tawbah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tawbah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tawbah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tawbah Al Hosary
Al Hosary
Surah Tawbah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tawbah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, July 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers