Surah Hijr aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّ عَذَابِي هُوَ الْعَذَابُ الْأَلِيمُ﴾
[ الحجر: 50]
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that it is My punishment which is the painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
Na wape khabari kwamba adhabu ninayo wateremshia wenye kuasi na kukufuru ni adhabu yenye kutia machungu kweli, na adhabu yoyote nyengineyo haihisabiwi kuwa ina machungu mbele ya hii.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
- Alif Lam Ra. Hizo ni Aya za Kitabu chenye Hikima.
- Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
- Viziwi, mabubu, vipofu; kwa hivyo hawatarejea.
- La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
- Basi wachawi wakaangushwa wanasujudu. Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa Harun na Musa!
- Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
- Basi na awaite wenzake!
- Wala msit'ii amri za walio pindukia mipaka,
- Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers