Surah Hijr aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّ عَذَابِي هُوَ الْعَذَابُ الْأَلِيمُ﴾
[ الحجر: 50]
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that it is My punishment which is the painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
Na wape khabari kwamba adhabu ninayo wateremshia wenye kuasi na kukufuru ni adhabu yenye kutia machungu kweli, na adhabu yoyote nyengineyo haihisabiwi kuwa ina machungu mbele ya hii.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
- Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi
- Na mlipo muuwa mtu, kisha mkakhitalifiana kwayo, na Mwenyezi Mungu ni mwenye kuyatoa hayo mliyo
- Na hakika wale wasio iamini Akhera wanajitenga na Njia hiyo.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Mabustani na mizabibu,
- Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
- Hawazibishi Ishara za Mwenyezi Mungu ila walio kufuru; basi kusikughuri wewe kutanga tanga kwao katika
- Na wewe hukuwa kabla yake unasoma kitabu chochote, wala hukukiandika kwa mkono wako wa kulia.
- Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



