Surah Zukhruf aya 53 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zukhruf aya 53 in arabic text(The Gold Adornments).
  
   

﴿فَلَوْلَا أُلْقِيَ عَلَيْهِ أَسْوِرَةٌ مِّن ذَهَبٍ أَوْ جَاءَ مَعَهُ الْمَلَائِكَةُ مُقْتَرِنِينَ﴾
[ الزخرف: 53]

Basi mbona hakuvikwa vikuku vya dhahabu, au hawakuja Malaika pamoja naye wakamwandama?

Surah Az-Zukhruf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then why have there not been placed upon him bracelets of gold or come with him the angels in conjunction?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi mbona hakuvikwa vikuku vya dhahabu, au hawakuja Malaika pamoja naye wakamwandama?


Akazidi kusema kuchochea kumkadhibisha Musa: Lau ingeli kuwa Mola wake Mlezi angeli mvika vikuku vya dhahabu kwa kumpa funguo za utawala, au akamsaidia kwa Malaika wa kumuunga mkono, ingeli kuwa yeye ni mkweli katika madai yake ya Utume?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 53 from Zukhruf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio tenda maovu, kisha wakatubia baada yake na wakaamini, hapana shaka kuwa Mola Mlezi
  2. Je! Hawaoni umma ngapi tulizo ziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao.
  3. Na hakika tumekuteremshieni Kitabu ambacho ndani yake yamo makumbusho yenu. Je! Hamzingatii?
  4. Na tunazipeleka pepo za kupandishia, na tunateremsha kutoka mbinguni maji, kisha tukakunywesheni maji hayo. Wala
  5. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na
  6. Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola wake Mlezi amuadhibu adhabu
  7. Na kwa ajili yao yatakuwapo marungu ya chuma.
  8. Kwa hivyo Mwenyezi Mungu anawaadhibu wanaafiki wanaume, na wanaafiki wanawake, na washirikina wanaume, na washirikina
  9. Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
  10. Na radi inamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumhimidi, na Malaika pia, kwa kumkhofu. Naye hupeleka mapigo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Surah Zukhruf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zukhruf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zukhruf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zukhruf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zukhruf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zukhruf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zukhruf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zukhruf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zukhruf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zukhruf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zukhruf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zukhruf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zukhruf Al Hosary
Al Hosary
Surah Zukhruf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zukhruf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, May 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers