Surah Al Qamar aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Qamar aya 24 in arabic text(The Moon).
  
   

﴿فَقَالُوا أَبَشَرًا مِّنَّا وَاحِدًا نَّتَّبِعُهُ إِنَّا إِذًا لَّفِي ضَلَالٍ وَسُعُرٍ﴾
[ القمر: 24]

Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!

Surah Al-Qamar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And said, "Is it one human being among us that we should follow? Indeed, we would then be in error and madness.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!


Wakasema: Hivyo aje mtu tu katika sisi, watu wa kawaida, asiye na watu, nasi tumfuate? Tukimfuata huyo basi bila ya shaka sisi tutakuwa mbali mno na haki, na tutakuwa tuna wazimu basi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from Al Qamar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wale wanao sema: Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu ya Jahannamu. Hakika adhabu yake ikimpata
  2. Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu.
  3. Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema.
  4. Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha
  5. Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.
  6. Na Nabii wao akawaambia: Alama ya ufalme wake ni kukuleteeni lile sanduku ambalo mna ndani
  7. Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
  8. Je! Niishike miungu mingine badala yake? Arrahmani, Mwingi wa Rehema, akinitakia madhara uombezi wa hao
  9. Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
  10. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Surah Al Qamar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Qamar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Qamar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Qamar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Qamar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Qamar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Qamar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Qamar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Qamar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Qamar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Qamar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Qamar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Qamar Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Qamar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Qamar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, July 17, 2025

Please remember us in your sincere prayers