Surah Yasin aya 57 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَهُمْ فِيهَا فَاكِهَةٌ وَلَهُم مَّا يَدَّعُونَ﴾
[ يس: 57]
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For them therein is fruit, and for them is whatever they request [or wish]
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
Wao na wake zao wamo katika vivuli vilivyo enea, wameegemea juu ya viti vilivyo pambwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
- Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
- Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.
- Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
- Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
- Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
- Ni vyeo hivyo vinavyo toka kwake, na maghfira na rehema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi
- Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.
- Na miongoni mwao wapo wanao sema: Niruhusu wala usinitie katika fitina. Kwa yakini wao hivyo
- Na Musa alisema: Mkikufuru nyinyi na wote waliomo duniani, hakika Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, Anajitosha,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



