Surah Qaf aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qaf aya 6 in arabic text(Qaf).
  
   
ayat 6 from Surah Qaf

﴿أَفَلَمْ يَنظُرُوا إِلَى السَّمَاءِ فَوْقَهُمْ كَيْفَ بَنَيْنَاهَا وَزَيَّنَّاهَا وَمَا لَهَا مِن فُرُوجٍ﴾
[ ق: 6]

Je! Hawaangalii mbingu zilizo juu yao! Vipi tulivyo zijenga, na tukazipamba. Wala hazina nyufa.

Surah Qaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have they not looked at the heaven above them - how We structured it and adorned it and [how] it has no rifts?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Hawaangalii mbingu zilizo juu yao! Vipi tulivyo zijenga, na tukazipamba. Wala hazina nyufa.


Wameghafilika hata hawaitazami mbingu ilivyo nyanyuliwa juu yao bila ya nguzo? Vipi tumetengeneza ujenzi wake, na tukaipamba kwa nyota, na haina nyufa za kuitia kombo! Mbingu ni kote kulio juu yetu, na ndani yake vimo vitu vya namna mbali mbali, vinaogelea katika njia zao, nyota na sayari. Na hayo ni kwa nidhamu ya uangalizi mkubwa, na mshikamano ulio timia, na vilevile zinafuata kwa mpango wake kuwafikiana na kanuni za mvutano, basi hazitelezi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Qaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu
  2. Na wao husema: Mbona hakuteremshiwa Malaika? Na kama tungeli teremsha Malaika, basi bila ya shaka
  3. Ni kama mfano wa Shetani anapo mwambia mtu: Kufuru. Na akikufuru humwambia: Mimi si pamoja
  4. Bila ya shaka lilikuwapo kundi katika waja wangu likisema: Mola wetu Mlezi! Tumeamini; basi tusamehe
  5. Nao huwazuia watu, na wao wenyewe wanajitenga nayo. Nao hawaangamizi ila nafsi zao tu, wala
  6. Akasema: Enyi watu wangu! Mimi simo katika upotofu, lakini mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola
  7. Na ni tangazo kutokana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa wote siku ya Hija
  8. Kina A'd waliwakanusha Mitume.
  9. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na
  10. Au mnadhani mko salama kwa alioko juu ya kuwa Yeye hakupelekeeni kimbunga chenye changarawe? Mtajua

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Surah Qaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Qaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers