Surah Araf aya 199 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ﴾
[ الأعراف: 199]
Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Take what is given freely, enjoin what is good, and turn away from the ignorant.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.
Ewe Nabii! Waachilie mbali hao majaahili, na endelea katika njia ya Dawa (Wito). Na wachukulie watu kwa lilio wepesi kwao. Na waamrishe kila jambo linalo pendeza na kuingia akilini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
- Wanakuuliza watoe nini? Sema: Kheri mnayo itoa ni kwa ajili ya wazazi na jamaa na
- Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
- Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,
- Na hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu
- Au hatawashika katika nyendo zao, na wala hawataponyoka?
- Wakuletee kila mchawi mjuzi.
- Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
- Wanao mkimbia simba!
- Ati yeye tu ndiye aliye teremshiwa mawaidha peke yake katika sisi? Lakini hao wana shaka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



