Surah Waqiah aya 73 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿نَحْنُ جَعَلْنَاهَا تَذْكِرَةً وَمَتَاعًا لِّلْمُقْوِينَ﴾
[ الواقعة: 73]
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We have made it a reminder and provision for the travelers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
Sisi tumeufanya huu moto uwe ni ukumbusho wa Moto wa Jahannamu mtapo uona, na uwe ni manufaa kwa wasafiri wa msitu na nyika, wakinafiika kwa kupikia chakula chao na kuotea moto wakati wa baridi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wewe huna mamlaka juu ya waja wangu. Na Mola wako Mlezi anatosha kuwa ni
- Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha kupotea, hana mlinzi baada yake. Na utawaona wenye kudhulumu watakapo
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Hao wanao fanya kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu yupo mungu mwingine. Basi, watakuja jua!
- Isipokuwa wale walio fungamana na watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wanakujieni
- Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
- Kwani huo ujuzi wao umefikilia kuijua Akhera? Bali wao wamo katika shaka nayo tu, bali
- Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
- Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je, hamwogopi?
- Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers