Surah Waqiah aya 73 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Waqiah aya 73 in arabic text(The Inevitable, The Event).
  
   

﴿نَحْنُ جَعَلْنَاهَا تَذْكِرَةً وَمَتَاعًا لِّلْمُقْوِينَ﴾
[ الواقعة: 73]

Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.

Surah Al-Waqiah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


We have made it a reminder and provision for the travelers,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.


Sisi tumeufanya huu moto uwe ni ukumbusho wa Moto wa Jahannamu mtapo uona, na uwe ni manufaa kwa wasafiri wa msitu na nyika, wakinafiika kwa kupikia chakula chao na kuotea moto wakati wa baridi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 73 from Waqiah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye
  2. Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
  3. Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao?
  4. Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazo Bustani za neema.
  5. Na kila umma una muda wake. Utakapo fika muda wao basi hawatakawia hata saa moja,
  6. Na kwa yakini tulipeleka Mitume kwa kaumu zilizo kuwa kabla yako, kisha tukazitia katika dhiki
  7. Wala haiwafalii Waumini kutoka wote. Lakini kwa nini hawatoki baadhi katika kila kundi miongoni mwao,
  8. Enyi wake wa Nabii! Atakaye fanya uchafu dhaahiri miongoni mwenu, atazidishiwa adhabu mara mbili. Na
  9. Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
  10. Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watu hapana wa kuizuia. Na anayo izuia hapana wa kuipeleka

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Surah Waqiah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Waqiah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Waqiah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Waqiah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Waqiah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Waqiah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Waqiah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Waqiah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Waqiah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Waqiah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Waqiah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Waqiah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Waqiah Al Hosary
Al Hosary
Surah Waqiah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Waqiah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب