Surah Yusuf aya 60 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِن لَّمْ تَأْتُونِي بِهِ فَلَا كَيْلَ لَكُمْ عِندِي وَلَا تَقْرَبُونِ﴾
[ يوسف: 60]
Na msipo niletea basi hampati kipimo chochote kwangu, wala msinikurubie.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But if you do not bring him to me, no measure will there be [hereafter] for you from me, nor will you approach me."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na msipo niletea basi hampati kipimo chochote kwangu, wala msinikurubie.
Mkitomleta ndugu yenu huyu, basi hampati chakula kwangu, wala msijaribu kunijia tena.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
- Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
- Kisha tukawatimizia miadi, na tukawaokoa wao na tulio wataka, na tukawateketeza walio pita mipaka.
- Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
- Wala usisema kamwe kwa jambo lolote lile: Hakika nitalifanya hilo kesho -
- UJUZI wa kuijua Saa ya Kiyama unarudishwa kwake tu Mwenyezi Mungu. Na matunda hayatoki katika
- Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa ni hukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata
- Ingieni leo kwa vile mlivyo kuwa mkikufuru.
- Na walio amini na wakatenda mema wataingizwa katika Mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo
- Na waheshimiwa walio kufuru katika kaumu yake wakasema: Mkimfuata Shua'ib, basi hakika hapo nyinyi mtakuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers