Surah Yusuf aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 61 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 61 from Surah Yusuf

﴿قَالُوا سَنُرَاوِدُ عَنْهُ أَبَاهُ وَإِنَّا لَفَاعِلُونَ﴾
[ يوسف: 61]

Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They said, "We will attempt to dissuade his father from [keeping] him, and indeed, we will do [it]."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.


Nduguze wakasema: Tutajaribu kusema na baba yake ageuze rai yake, iondoke khofu yake juu ya mwanawe. Na sisi tunakuhakikishia kuwa hatutokasiri wala kulegalega katika hayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 61 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hakika tulikwisha wapigia watu kila mfano katika hii Qur'ani. Na ukiwaletea Ishara yoyote hapana
  2. Basi mwachilie mbali anaye upa kisogo ukumbusho wetu, na wala hataki ila maisha ya dunia.
  3. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha,
  4. Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.
  5. Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
  6. Wale tulio wapa Kitabu, wakakisoma kama ipasavyo kusomwa, hao ndio kweli wanakiamini. Na wanao kikataa
  7. Wakasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Hakika Juju-wa-maajuju wanafanya uharibifu katika nchi. Basi je, tukulipe ujira ili utujengee
  8. Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
  9. Na dhara inapo mgusa mtu hutuomba. Kisha tunapo mpa neema zitokazo kwetu, husema: Nimepewa haya
  10. Na ama walio kufuru na wakazikanusha Ishara zetu na mkutano wa Akhera, hao basi watahudhurishwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Surah Yusuf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yusuf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yusuf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yusuf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yusuf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yusuf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yusuf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yusuf Al Hosary
Al Hosary
Surah Yusuf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yusuf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, August 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers