Surah Qasas aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَرَبُّكَ يَعْلَمُ مَا تُكِنُّ صُدُورُهُمْ وَمَا يُعْلِنُونَ﴾
[ القصص: 69]
Na Mola wako Mlezi anayajua yaliyo ficha vifua vyao, na wanayo yatangaza.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And your Lord knows what their breasts conceal and what they declare.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Mola wako Mlezi anayajua yaliyo ficha vifua vyao, na wanayo yatangaza.
Ewe Mtume! Mola wako Mlezi anajua baraabara yaliomo katika vifua vya washirikina ya uadui wao juu yako, na wanayo tangaza kwa ndimi zao ya kukushutumu na kukupinga kwa ulivyo teuliwa kupewa Utume.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
- Wakasema: Usiogope. Sisi tunakubashiria kijana mwenye ujuzi.
- Na anaye fanya mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini - basi hao wataingia
- Na hao watu wa Mnyanyukoni watawaita watu wanao wajua kwa alama zao. Watasema: Kujumuika kwenu
- Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa
- WANAULIZANA nini?
- Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
- Kwa walio asi ndio makaazi yao,
- Basi, simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wewe na wale wanao elekea kwa Mwenyezi Mungu
- Basi Malaika wakat'ii wote pamoja.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



