Surah Muminun aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ﴾
[ المؤمنون: 7]
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But whoever seeks beyond that, then those are the transgressors -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
Mwenye kutaka kuingiliana na mwanamke bila ya kupitia njia hizi mbili, basi huyo amevuka mipaka ya sharia hadi ya kuvuka. Na (hao Waumini) wawe ni wenye kuhifadhi kila walicho pewa kuwa ni amana, ikiwa mali au neno au kitendo au chenginecho, na watimize kila ahadi iliyo baina yao na Mwenyezi Mungu au na watu. Wasikhuni amana, wala wasivunje ahadi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
- Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao. Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka.
- Na adhabu nyenginezo za namna hii.
- Je! Yule tuliye muahidi ahadi nzuri, tena naye akayapata, ni kama tuliye mstarehesha kwa starehe
- Ni takrima itokayo kwa Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
- Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
- Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
- Mwenye kutaka mavuno ya Akhera tutamzidishia katika mavuno yake, na mwenye kutaka mavuno ya duniani
- Na tunge utuma upepo na wakauona umekuwa rangi ya manjano, juu ya hayo wange endelea
- A'yn Sin Qaf
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



