Surah Jathiyah aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 8 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿يَسْمَعُ آيَاتِ اللَّهِ تُتْلَىٰ عَلَيْهِ ثُمَّ يُصِرُّ مُسْتَكْبِرًا كَأَن لَّمْ يَسْمَعْهَا ۖ فَبَشِّرْهُ بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
[ الجاثية: 8]

Anaye sikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, na anajivuna, kama kwamba hakuzisikia. Basi mbashirie adhabu chungu!

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Who hears the verses of Allah recited to him, then persists arrogantly as if he had not heard them. So give him tidings of a painful punishment.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Anaye sikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, na anajivuna, kama kwamba hakuzisikia. Basi mbashirie adhabu chungu!


Mzushi kama huyu husikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, nazo zinasema haki tupu. Kisha yeye huendelea na ukafiri wake kwa kutakabari, akaikataa Imani. Hali yake ni hali ya asiye pata kuzisikia Aya. Basi ewe Nabii! Mbashirie, kwa kumkejeli, kuwa atapata adhabu chungu kwa huko kushikilia kwake kitendo kitacho mletea adhabu hiyo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na bila ya shaka tulimtuma Musa kwa Ishara zetu ende kwa Firauni na waheshimiwa wake,
  2. Ni wafu si wahai, na wala hawajui watafufuliwa lini.
  3. Na siku moja mfalme alisema: Hakika mimi nimeota ng'ombe saba wanene wanaliwa na ng'ombe saba
  4. Na ikiwa Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea hayo ila Yeye. Na ikiwa
  5. Hakika wale walio amini, na wakatenda mema, na wakanyenyekea kwa Mola wao Mlezi, hao ndio
  6. Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni rehema itokayo kwetu,
  7. Mlipo kuwa mkimuomba msaada Mola wenu Mlezi, naye akakujibuni kuwa: Kwa yakini Mimi nitakusaidieni kwa
  8. Mwenye kutaraji kukutana na Mwenyezi Mungu, basi hakika miadi ya Mwenyezi Mungu itafika bila ya
  9. Na walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake, hao ndio Masidiqi na Mashahidi mbele ya
  10. Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jathiyah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jathiyah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jathiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jathiyah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jathiyah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jathiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب