Surah Buruj aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَهُمْ عَلَىٰ مَا يَفْعَلُونَ بِالْمُؤْمِنِينَ شُهُودٌ﴾
[ البروج: 7]
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they, to what they were doing against the believers, were witnesses.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
Na wao wapo hapo wamehudhuria kwenye mateso wanayo watendea Waumini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye akamwambia dada yake Musa: Mfuatie. Basi naye akawa anamuangalia kwa mbali bila ya wao
- Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
- Ole wake kila safihi, msengenyaji!
- Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
- Nao huwazuia watu, na wao wenyewe wanajitenga nayo. Nao hawaangamizi ila nafsi zao tu, wala
- Na ili awapambanue walio kuwa wanaafiki, wakaambiwa: Njooni mpigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu au
- Na ikikufikieni fadhila kutoka kwa Mwenyezi Mungu husema - kama kwamba hapakuwa mapenzi baina yenu
- Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyo toka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye
- Ila waja wako walio safika.
- Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



