Surah Anbiya aya 75 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَدْخَلْنَاهُ فِي رَحْمَتِنَا ۖ إِنَّهُ مِنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ الأنبياء: 75]
Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We admitted him into Our mercy. Indeed, he was of the righteous.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tukamuingiza katika rehema yetu. Hakika yeye ni miongoni mwa watenda mema.
Tukampeleka njia ya watu wa rehema yetu. Hakika huyo alikuwa miongoni mwa watu wema alio wakusanya Mwenyezi Mungu katika rehema yake na akawakunjulia msaada wake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio watakao pata sehemu yao kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Na Mwenyezi Mungu
- Na farasi, na nyumbu, na punda ili muwapande, na kuwa ni pambo. Na ataumba msivyo
- Na ingawa kabla ya kuteremshiwa walikuwa wenye kukata tamaa.
- Mwenye kumwogopa Mwingi wa Rehema hali kuwa hamwoni, na akaja kwa moyo ulio elekea-
- Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
- Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
- Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, aliye wafanya Malaika
- Wale miongoni mwenu wanao watenga wake zao, hao si mama zao. Hawakuwa mama zao ila
- Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
- Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



