Surah Anbiya aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anbiya aya 76 in arabic text(The Prophets).
  
   

﴿وَنُوحًا إِذْ نَادَىٰ مِن قَبْلُ فَاسْتَجَبْنَا لَهُ فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ﴾
[ الأنبياء: 76]

Na Nuhu alipo ita zamani, nasi tukamuitikia, na tukamwokoa yeye na watu wake kutokana na shida kubwa.

Surah Al-Anbiya in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And [mention] Noah, when he called [to Allah] before [that time], so We responded to him and saved him and his family from the great flood.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Nuhu alipo ita zamani, nasi tukamuitikia, na tukamwokoa yeye na watu wake kutokana na shida kubwa.


Na hapa tumjaje Nuh kabla ya Ibrahim na LuUt, pale alipo muomba Mola wake Mlezi, aisafishe nchi kwa kuondoa waovu tukamuitikia ombi lake, tukamuokowa yeye na wale walioamini katika watu wake, kutokana na shakawa (shida) ya kimbunga kikubwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 76 from Anbiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninazo dalili zilizo wazi kutokana na Mola wangu Mlezi,
  2. Na Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika makafiri!
  3. Na wanapo ambiwa: Msujudieni Arrahman! Wao husema: Ni nani Arrahman? Je! Tumsujudie unaye tuamrisha wewe
  4. Na Dhun-Nun alipoondoka hali ameghadhibika, na akadhani ya kwamba hatutakuwa na uwezo juu yake. Basi
  5. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.
  6. Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa
  7. Siku watakayo dhihiri wao. Hapana kitacho fichikana chochote chao kwa Mwenyezi Mungu. Ufalme ni wa
  8. Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
  9. Wakasema: Ndivyo vivyo hivyo alivyo sema Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na
  10. Na yule aliye mnunua huko Misri alimwambia mkewe: Mtengenezee makaazi ya hishima huyu; huenda akatufaa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Surah Anbiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anbiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anbiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anbiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anbiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anbiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anbiya Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Anbiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anbiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anbiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anbiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anbiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anbiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Anbiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anbiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب