Surah Zalzalah aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ شَرًّا يَرَهُ﴾
[ الزلزلة: 8]
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And whoever does an atom's weight of evil will see it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
Na mwenye kufanya shari ya uzito wa chembe ya mchanga ataiona kadhaalika, na atapata malipo yake. Wala Mola wako Mlezi hatamdhulumu yeyote.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Atendaye ayatakayo.
- Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
- Kwani yeye amepata khabari za ghaibu, au amechukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema?
- Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu anayajua yaliyomo ndani ya nyoyo zao. Basi waachilie mbali,
- Akasema: Leo hapana lawama juu yenu. Mwenyezi Mungu atakusameheni, naye ni Mwingi wa kurehemu kuliko
- Na hawakuzuiliwa kukubaliwa michango yao ila kwa kuwa walimkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala
- Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,
- Akasema: Nipe muhula mpaka siku watakapo fufuliwa.
- Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye
- Lau wangeli kuwamo humo miungu wengine isipo kuwa Mwenyezi Mungu basi bila ya shaka hizo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers