Surah Adiyat aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ الْإِنسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ﴾
[ العاديات: 6]
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed mankind, to his Lord, is ungrateful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
Hakika mwanaadamu ni mwingi wa kuzikufuru neema za Mola wake Mlezi ambazo hazikadiriki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao. Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka.
- Na kwa Aliye umba dume na jike!
- Basi huyo ataomba kuteketea.
- Ni kama wale walio kuwa kabla yenu. Walikuwa wana nguvu na mali na watoto zaidi
- Na ulimi, na midomo miwili?
- Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale
- Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
- Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawajua hao wanao zuilia, na wanao waambia ndugu zao: Njooni kwetu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers