Surah Yunus aya 80 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَمَّا جَاءَ السَّحَرَةُ قَالَ لَهُم مُّوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنتُم مُّلْقُونَ﴾
[ يونس: 80]
Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So when the magicians came, Moses said to them, "Throw down whatever you will throw."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
Walipo hudhuria wachawi, na wakasimama mbele ya Musa kupambana naye kwa uchawi wao mbele ya watu, Musa aliwaambia: Leteni huo uchawi mlio nao!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
- Naam, anaye chuma ubaya - na makosa yake yakamzunguka - hao ndio watu wa Motoni;
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba apendavyo, anamtunukia amtakaye watoto wa
- Hakika Sisi tumeipamba mbingu ya karibu kwa pambo la nyota.
- Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni
- Hakika sisi tunakulisheni kwa wajihi wa Mwenyezi Mungu. Hatutaki kwenu malipo wala shukrani.
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Na walikuwamo mjini watu tisa wakifanya ufisadi katika nchi wala hawafanyi la maslaha.
- La! Hapana pa kukimbilia!
- Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers