Surah Muminun aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا تَسْبِقُ مِنْ أُمَّةٍ أَجَلَهَا وَمَا يَسْتَأْخِرُونَ﴾
[ المؤمنون: 43]
Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No nation will precede its time [of termination], nor will they remain [thereafter].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hapana umma uwezao kutanguliza ajali yake wala kuikawiza.
Kila umma una zama zake maalumu, hazitangulii wala hazikawii.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
- Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,
- Na mwenye kutenda hayo kwa uadui na udhaalimu, basi huyo tutamwingiza Motoni. Na hilo ni
- Wakasema: Ewe Nuhu! Umejadiliana, na umekithirisha kutujadili. Basi tuletee hayo unayo tuahidi, ukiwa miongoni mwa
- Tutamsahilishia yawe mazito!
- Hao ndio watapata adhabu mbaya kabisa, na hao katika Akhera ndio watapata khasara zaidi.
- Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
- Na tukawaokoa wale walio amini na walio kuwa wanamchamngu.
- Lakini walio mcha Mola wao Mlezi watapata ghorofa zilizo jengwa juu ya ghorofa; chini yake
- Akasema: Utakuwa miongoni mwa walio pewa muhula.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers