Surah Araf aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ فِيهَا تَحْيَوْنَ وَفِيهَا تَمُوتُونَ وَمِنْهَا تُخْرَجُونَ﴾
[ الأعراف: 25]
Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Therein you will live, and therein you will die, and from it you will be brought forth."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa
Katika ardhi mnazaliwa, na mnaishi, na humo mnakufa na kuzikwa. Na kutoka huko mtatolewa wakati wa kufufuliwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
- Ili msidhulumu katika mizani.
- Kwa yakini mtakula mti wa Zaqqumu.
- Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
- Kwa hakika katika hadithi zao limo zingatio kwa wenye akili. Si maneno yaliyo zuliwa, bali
- Na nyuso siku hiyo zitakuwa na mavumbi,
- Na pale tulipo unyanyua mlima juu yao ukawa kama kwamba ni kiwingu kilicho wafunika, na
- Matunda, nao watahishimiwa.
- Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
- Na lau kuwa Watu wa Kitabu wangeli amini na wakachamngu hapana shaka tungeli wafutia makosa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



