Surah Araf aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ فِيهَا تَحْيَوْنَ وَفِيهَا تَمُوتُونَ وَمِنْهَا تُخْرَجُونَ﴾
[ الأعراف: 25]
Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Therein you will live, and therein you will die, and from it you will be brought forth."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa
Katika ardhi mnazaliwa, na mnaishi, na humo mnakufa na kuzikwa. Na kutoka huko mtatolewa wakati wa kufufuliwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
- Na tulipo funga agano na Wana wa Israili: Hamtamuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu; na muwafanyie
- Anaziendesha bahari mbili zikutane;
- Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
- Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
- Siku hiyo itakapo fika, hatosema hata mtu mmoja ila kwa idhini yake Mwenyezi Mungu. Kati
- Na hao ndio kina A'adi. Walizikanusha Ishara za Mola wao Mlezi, na wakawaasi Mitume wake,
- Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers