Surah Waqiah aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتَجْعَلُونَ رِزْقَكُمْ أَنَّكُمْ تُكَذِّبُونَ﴾
[ الواقعة: 82]
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And make [the thanks for] your provision that you deny [the Provider]?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
Na badala ya kuishukuru riziki yenu ndio mna ikadhibisha?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tunge utuma upepo na wakauona umekuwa rangi ya manjano, juu ya hayo wange endelea
- Hakika wanaafiki watakuwa katika t'abaka ya chini kabisa Motoni, wala hutompata yeyote wa kuwanusuru.
- Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
- (Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
- Akasema: Nipe muhula mpaka siku watakapo fufuliwa.
- Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina aliye anzisha kuumba viumbe, na kisha akavirejesha?
- Na Yusuf akawaambia watumishi wake: Tieni bidhaa zao katika mizigo yao, ili wazione watakapo rudi
- Mwenyezi Mungu anapiga mfano wa mtumwa aliye milikiwa, asiye weza kitu, na mwingine tuliye mruzuku
- T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
- Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



