Surah Al-Haqqah aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَاءَ فِرْعَوْنُ وَمَن قَبْلَهُ وَالْمُؤْتَفِكَاتُ بِالْخَاطِئَةِ﴾
[ الحاقة: 9]
Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there came Pharaoh and those before him and the overturned cities with sin.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
Akaja Firauni, na mataifa mengine yaliyo kufuru kabla yake, na wale jamaa walio acha mwendo wa haki na vitendo vya maumbile wakafanya vitendo vichafu kabisa hata miji yao ikapinduliwa juu chini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ikiwa hamniamini, basi jitengeni nami.
- Mola wetu Mlezi! Na waingize katika Bustani za Milele ulizo waahidi. Na uwape haya pia
- Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
- Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele.
- Na mnapo adhinia Sala wao wanaichukulia maskhara na mchezo. Hayo ni kwa sababu wao ni
- Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
- Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Na ikiwa watajivuna, basi hao walioko kwa Mola wako Mlezi wanamtakasa Yeye usiku na mchana,
- Na majeshi ya Ibilisi yote.
- Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers