Surah Anbiya aya 95 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَحَرَامٌ عَلَىٰ قَرْيَةٍ أَهْلَكْنَاهَا أَنَّهُمْ لَا يَرْجِعُونَ﴾
[ الأنبياء: 95]
Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there is prohibition upon [the people of] a city which We have destroyed that they will [ever] return
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
Na haitakuwa kwa watu wa mji tulio uteketeza kwa sababu ya dhulma yao kwamba hawatarejea kwetu Siku ya Kiyama, bali hapana budi kuwa watarejea na tutawahisabia vitendo vyao viovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Mwenyezi Mungu) atasema: Ndivyo vivyo hivyo. Zilikufikia ishara zetu, nawe ukazisahau; na kadhaalika leo unasahauliwa.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Ewe Nabii! Pambana na makafiri na wanaafiki, na kuwa mgumu kwao! Na makaazi yao ni
- Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi
- Na kumbukeni mlipo kuwa wachache, mkionekana wanyonge katika nchi, mnaogopa watu wasikunyakueni, naye akakupeni pahala
- Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
- Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
- Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
- Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
- Hao ndio walio zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo kuwa wakiyazua.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers