Surah Anbiya aya 96 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿حَتَّىٰ إِذَا فُتِحَتْ يَأْجُوجُ وَمَأْجُوجُ وَهُم مِّن كُلِّ حَدَبٍ يَنسِلُونَ﴾
[ الأنبياء: 96]
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Until when [the dam of] Gog and Magog has been opened and they, from every elevation, descend
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
Mpaka itapo funguliwa milango ya shari na ufisadi, wakaingia wana wa Juju na Maajuju wakikimbizana kuteremka milimani na majiani kwa kufanya vitendo vya fujo na rabsha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
- Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
- Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi. Hakika tetemeko la Saa (ya Kiyama) ni jambo kuu.
- Hasha! Bali nyinyi mnapenda maisha ya duniani,
- Na Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea ila Yeye. Na akikutakia kheri, basi
- Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu
- Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.
- Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
- Na kikundi kati yao walisema: Kwa nini mnawawaidhi watu ambao tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers