Surah Inshiqaq aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَذِنَتْ لِرَبِّهَا وَحُقَّتْ﴾
[ الانشقاق: 5]
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
Surah Al-Inshiqaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And has responded to its Lord and was obligated [to do so] -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza!
Na ikamwelekea Mola wake Mlezi kwa kuzidi kutanuka kwake na kutoa vilio kuwemo ndani yake na kuachana navyo, na hayo ni haki yake kuwa. Yakitokea yote hayo yaliyo tangulia kusimuliwa basi kila mtu atapata malipo ya vitendo vyake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na unge ona watakapo simamishwa kwenye Moto, wakawa wanasema: Laiti tungeli rudishwa, wala hatutakanusha tena
- Dada yako alipo kwenda na akasema: Je! Nikujuulisheni mtu wa kuweza kumlea? Basi tukakurejesha kwa
- Na hakika Ilyas bila ya shaka alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
- Hamkumbuki?
- Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa walio rogwa.
- Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, na tungeli watilia
- Kisha bila ya shaka mtagombana Siku ya Kiyama mbele ya Mola wenu Mlezi.
- Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Inshiqaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Inshiqaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Inshiqaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers