Surah Kahf aya 98 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Kahf aya 98 in arabic text(The Cave).
  
   

﴿قَالَ هَٰذَا رَحْمَةٌ مِّن رَّبِّي ۖ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ رَبِّي جَعَلَهُ دَكَّاءَ ۖ وَكَانَ وَعْدُ رَبِّي حَقًّا
[ الكهف: 98]

Akasema: Hii ni rehema itokayo kwa Mola wangu Mlezi. Na itapo fika ahadi ya Mola wangu Mlezi atauvunja vunja. Na ahadi ya Mola wangu Mlezi ni kweli tu.

Surah Al-Kahf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[Dhul-Qarnayn] said, "This is a mercy from my Lord; but when the promise of my Lord comes, He will make it level, and ever is the promise of my Lord true."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema: Hii ni rehema itokayo kwa Mola wangu Mlezi. Na itapo fika ahadi ya Mola wangu Mlezi atauvunja vunja. Na ahadi ya Mola wangu Mlezi ni kweli tu.


Dhul-Qarnaini alipo kwisha jenga ile ngome alisema kumshukuru Mwenyezi Mungu: Ngome hii ni rehema iliyo toka kwa Mola wangu Mlezi kwa ajili ya waja wake. Na itabaki hivi hivi imesimama mpaka ije amri ya Mwenyezi Mungu kuiteketeza. Hapo tena itakuwa sawa sawa na ardhi. Na amri ya Mwenyezi Mungu ni lazima itimie bila ya muhali.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 98 from Kahf


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Baba) akasema: Ewe mwanangu! Usiwasimulie nduguzo ndoto yako, wasije wakakufanyia vitimbi. Hakika Shet'ani ni adui
  2. Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi
  3. Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watu hapana wa kuizuia. Na anayo izuia hapana wa kuipeleka
  4. Na wakati wa kugawanya wakihudhuria jamaa na mayatima na masikini, wapeni katika hayo mali ya
  5. Asaa Mola wake Mlezi, akikupeni talaka, akampa wake wengine badala yenu nyinyi, walio bora kuliko
  6. Hakika Mwenyezi Mungu amekunusuruni katika mapigano mengi, na siku ya Hunayni ambapo wingi wenu ulikupandisheni
  7. Ijapo kuwa itawajia kila Ishara, mpaka waione adhabu iliyo chungu.
  8. Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja wake. Humruzuku ampendaye. Naye ni Mwenye nguvu, Mtukufu.
  9. Hao hawawezi kushinda katika ardhi, wala hawana walinzi isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Watazidishiwa adhabu. Hawakuwa
  10. Sema: Je! Mwaonaje zile riziki alizo kuteremshieni Mwenyezi Mungu, nanyi mkafanya katika hizo nyengine haramu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Surah Kahf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Kahf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Kahf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Kahf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Kahf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Kahf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Kahf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Kahf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Kahf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Kahf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Kahf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Kahf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Kahf Al Hosary
Al Hosary
Surah Kahf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Kahf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, July 27, 2025

Please remember us in your sincere prayers