Surah Kahf aya 97 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا اسْطَاعُوا أَن يَظْهَرُوهُ وَمَا اسْتَطَاعُوا لَهُ نَقْبًا﴾
[ الكهف: 97]
Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So Gog and Magog were unable to pass over it, nor were they able [to effect] in it any penetration.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
Basi wale mahasidi hawakuweza kulikwea lile boma, jinsi lilivyo kwenda juu, wala kulitoboa kwa ugumu wake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
- Tutamsahilishia yawe mazito!
- Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio badala ya wanawake? Hakika nyinyi ni watu mnao fanya
- MITUME hao tumewatukuza baadhi yao juu ya wengineo. Katika wao wapo ambao Mwenyezi Mungu alisema
- Na wajumbe wetu walipo mfikia Lut'i, alihuzunika kwa ajili yao, na moyo uliona dhiki kwa
- Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, hayo ni malipo ya waliyo yachuma,
- Na hizo ndizo hoja zetu tulizo mpa Ibrahim kuhojiana na watu wake. Tunamnyanyua kwa vyeo
- Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.
- Na milima itakapo peperushwa,
- Na maji yanayo miminika,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



