Surah Assaaffat aya 107 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَفَدَيْنَاهُ بِذِبْحٍ عَظِيمٍ﴾
[ الصافات: 107]
Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We ransomed him with a great sacrifice,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
Na tukamkomboa kwa mhanga wenye cheo kikubwa, kwa kuwa hayo ni kwa amri ya Mwenyezi Mungu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Ewe baba yetu! Hakika tulikwenda kushindana na tukamwacha Yusuf penye vitu vyetu. Basi mbwa
- (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
- Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
- Na Sisi hatuiakhirishi ila kwa muda unao hisabiwa.
- Basi tuliwapatiliza, tuka- wazamisha baharini kwa sababu walizikanusha Ishara zetu, na wakaghafilika nazo.
- Hamkumbuki?
- Na yule aliye amini alisema: Enyi watu wangu! Nifuateni mimi, nitakuongozeni njia ya uwongozi mwema.
- Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. Hakika katika hayo
- Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
- Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers