Surah Assaaffat aya 107 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَفَدَيْنَاهُ بِذِبْحٍ عَظِيمٍ﴾
[ الصافات: 107]
Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We ransomed him with a great sacrifice,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
Na tukamkomboa kwa mhanga wenye cheo kikubwa, kwa kuwa hayo ni kwa amri ya Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
- Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea.
- Isipo kuwa Iblisi; alijivuna na akawa katika makafiri.
- Wala hahimizi kulisha masikini.
- Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
- Na watu wa Nuhu, walipo wakanusha Mitume, tuliwazamisha, na tukawafanya ni Ishara kwa watu. Na
- Ambao waliziamini Ishara zangu na walikuwa Waislamu.
- Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
- Na bila ya shaka tumewaelezea watu katika hii Qur'ani kila namna ya mfano. Lakini mwanaadamu
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



