Surah Maidah aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِينَ كَفَرُوا وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ﴾
[ المائدة: 10]
Na wale walio kufuru na wakakanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.
Surah Al-Maidah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But those who disbelieve and deny Our signs - those are the companions of Hellfire.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wale walio kufuru na wakakanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.
Na wale wanayo ipinga Dini ya Mwenyezi Mungu, na wakakanusha Ishara zinazo onyesha Umoja wa Mwenyezi Mungu Mtukufu, na ukweli wa Ujumbe wake, hao ni watu wa kudumu katika Jahannamu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Musa akasema: Mola wangu Mlezi ni Mwenye kujua kabisa nani anaye kuja na uwongofu
- Basi Firauni akarudi na akatengeneza hila yake, kisha akaja.
- Na wale wanao sema: Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu ya Jahannamu. Hakika adhabu yake ikimpata
- Kisha akatazama,
- Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
- Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao, wanawapenda walio hamia kwao, wala
- Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
- Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika,
- Je, lipo wanalo lingojea isipo kuwa matokeo yake? Siku yatapo fika matokeo yake watasema wale
- Watu wa Peponi siku hiyo watakuwa katika makaazi bora na mahali penye starehe nzuri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maidah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maidah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maidah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers