Surah Muzammil aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاهْجُرْهُمْ هَجْرًا جَمِيلًا﴾
[ المزمل: 10]
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
Surah Al-Muzzammil in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And be patient over what they say and avoid them with gracious avoidance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
Na vumilia upuuzi wanao usema, na jitenge nao kwa moyo wako, na nenda kinyume na vitendo vyao, pamoja na kuwapuuza, na kuacha kujilipizia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na lau kuwa nyinyi hamumo katika mamlaka yangu,
- Hakika hao wanao bishana katika Ishara za Mwenyezi Mungu bila ya uthibitisho wowote uliyo wajia,
- Na konde na mitende yenye makole yaliyo wiva.
- Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
- Na Manabii wangapi tuliwatuma kwa watu wa zamani!
- Hivi inaelekea zaidi ya kwamba watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa visije vikaletwa viapo vingine
- Tena humo hatakufa wala hawi hai.
- Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
- Na nyuso siku hiyo zitakuwa na mavumbi,
- Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



